KARATASI KWA AJILI YA UCHAGUZI WA MARUDIO ZANZIBAR ZAWASILI KUTOKA AFRIKA KUSINI




Karatasi za kura kwa ajili ya uchaguzi mkuu wa Zanzibar utakaofanyika machi 20 zimewasili Zanzibar kwa ndege maalum ya kukodi kutoka Afrika Kusini ambapo ndipo zilipochapwa.

Download/Pakua App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527