HII NDIYO MIJI 10 DUNIANI YENYE GHARAMA KUBWA ZA KUISHI,AFRIKA KUNA HUU MJI WA GHARAMA NAFUU ZAIDI


Najua mtu wangu wa nguvu unatamani kujua ni miji gani gharama zake za kuishi ni nafuu zaidi na pia ni ipi yenye gharama kubwa zaidi kuishi.


Economist Intelligence Unit wamefanya utafiti kuhusiana na Miji mikubwa Duniani yenye gharama kubwa zaidi za kuishi kwa mwaka 2016. Utafiti huu ulijikita zaidi katika kufanya mahesabu kwa kulinganisha bei za vitu mbalimbali kwenye miji 133, Mji wa Singapore umeshika namba moja kwa kuwa mji wenye gharama kubwa zaidi za kuishi.

Mji mkuu wa Zambia Lusaka kutoka Afrika ndio mji wenye gharama ndogo za kuishi Duniani, umechukua nafasi ya 133 ikiwa ni nafasi ya mwisho kwenye miji iliyofanyiwa utafiti ikifuatiwa na miji ya India Bangalore na Mumbai.

1.Singapore


2.Zurich-Switzerland


3.Hongkong


4.Geneva


5.Paris


6.London


7.New York


8.Copenhagen, Denmark


9.Seoul-South Korea


10.Los Angeles


133.Lusaka -Zambia


Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553
Previous Post Next Post