Ni Balaa!! WANAFUNZI WA BULUBA SEKONDARI SHINYANGA WALIANZISHA BAADA YA MWALIMU WAO KUTUMBULIWA JIPU...WAANDAMANA,WARUSHA MAWE NA KUFUNGA OFISI


Afisa wa polisi kutoka jeshi la polisi mkoa wa Shinyanga akiwatuliza wanafunzi wa shule ya sekondari Buluba iliyopo mjini Shinyanga wasifanye vurugu


Wanafunzi wa shule ya sekondari Buluba wakipiga kelele

Meneja Mkuu wa SHIRECU, Joseph Mihangwa akiwasihi wanafunzi hao waingie darasani

Afisa wa jeshi la polisi mkoa wa Shinyanga akiwatuliza wanafunzi hao

*******
Januari 25,2016 asubuhi ilikuwa ya aina yake ambapo katika hali ambayo imeshangaza watu wengi na kuzua gumzo kila mtaa mjini Shinyanga wanafunzi wa Shule ya sekondari binafsi ya Buluba iliyopo mjini Shinyanga wameandamana na mabango huku wakipiga kelele hadi kwenye ofisi za makao makuu ya Chama cha Ushirika mkoani Shinyanga (SHIRECU) wakipinga kitendo cha kuondolewa madarakani mkuu wa shule hiyo, Alexander Yegela.


Malunde1 blog baada ya kupewa taarifa kuhusu tukio ilijisogeza kuona kujionea kilichokuwa kinaendelea ambapo wanafunzi hao wakisema wamefanya hivyo kutokana hatua ya uongozi wa bodi ya shule kumfukuza ghafla mkuu wao ambaye amefanya kazi katika shule hiyo kwa zaidi ya miaka 20 sasa. 

BOFYA MANENO HAYA KUSOMA HABARI KAMILI KUHUSU WANAFUNZI HAO 

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527