HII HAPA RATIBA YA KUAPISHWA KWA MAWAZIRI NA MANAIBU WAZIRI WALIOTEULIWA NA RAIS JOHN POMBE MAGUFULI
Friday, December 11, 2015
Taarifa iliyonifikia kutoka ofisi ya kurugenzi ya mawasiliano ya Rais, Ikulu kuwa Mawaziri na Manaibu Waziri walioteuliwa leo Dec 10, 2015 na Rais wa awamu ya tano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk.John Pombe Magufuli wataapishwa siku ya Jumamosi Dec 12, 2015 IKULU Dar es Salaam.
Shughuli hizo za uapishwaji zitafanyika kuanzia saa tano asubuhi.
Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa
Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundeblog@gmail.com
🚧🚦 Usiendeshe gari lako bila Mafunzo na Leseni halali_ 📲 Wasiliana nasi sasa: wa.me/255740273285 Unahitaji nini? 🚘 Unataka kujifunza udereva wa magari na kupata Cheti? 📄 Una cheti unataka kupata Leseni? 🔄 Unajua kuendesha lakini huna cheti wala leseni na unataka refresh upate cheti? 🛣️ Una nyaraka zote muhimu lakini unahitaji kujifua zaidi barabarani? ✅ Una Leseni bila cheti na unataka renew? 🌍 Tupo mikoa yote Tanzania hadi vijijini! 📞 Tupigie sasa: 0769 763 285
Social Plugin