Dereva mmoja huko Lubumbashi Congo ajimwagia petroli na kujiwasha moto na kumng'ang'ania polisi waungue wote, polisi amefariki na dereva yuko hoi hospitali. Alifanya hivyo baada ya Polisi kumkamata
Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa
Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553