Breaking News!! CHADEMA NA FAMILIA YA ALPHONCE MAWAZO WASHINDA KESI!! MAHAKAMA YARUHUSU KUZIKA






Hatimaye Mahakama kuu jijini Mwanza imetoa hukumu  ambapo CHADEMA na familia ya Mwenyekiti wa CHADEMA Geita Alphonce Mawazo wameshinda kesi hivyo wameruhusiwa kuendelea na taratibu za kuaga mwili wa marehemu na kuzika, pia Polisi watoe ulinzi kama ilivyo wajibu wao kwa kuzingatia mipaka ya kazi yao.

Mahakama kuu jijini Mwanza imewaruhusu Chadema na wafiwa kuzika mwili wa mpendwa wao huyo ila wafuate tu utaratibu.


SOMA HABARI KAMILI HAPA

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527