ANGALIA PICHA MHESHIMIWA LOWASSA ALIPOKUTANA NA WAJASIRIAMALI LEO JIJINI DAR ES SALAAM

Mgombea urais wa vyama hivyo Mh Edward Lowassa na mgombea mwenza Mh Duni Haji wamekutana na makundi mbalimbali ya wajasiriamali na wanafunzi wa elimu ya juu ambao licha kutumia fursa hiyo kuelezea matatizo yanayowakabili wametoa mapendekezo yatayolenga kuwawezesha watanzania kunufaika na rasilimali zanchi yao.

Wawakilishi wa makundi hayo wamesema hatua ya kuviunganisha vyama vya siasa na kupatikana UKAWA imewapa matumaiani makubwa ya kuondokana na uonevu na umaskini mkubwa unaowakabili.

Akizungumza na makundi hayo Mh Lowassa na viongozi wengine wa UKAWA wamesema wamejipanga ipasavyo kuleta na kusimamia mabadiliko ya kweli yatakayotatua kero za wananchi na kuondoa uonevu uliokidhiri matatizo ambazo serikali ya ccm imeshindwa kuyapatia ufumbuzi kwa miaka yoyte 50 iliyokuwa madarakani.

Msanii Juma Nature A.k.a Kibla akiongoza wasanii wenzake kuwasalimia viongozi wa UKAWA leo Ijumaa 28/08/2015 ikiwa ni majumuisho ya ziara ya Mgombea Urais Mhe. Lowassa kwa jiji la Dar es salaam








Mhe. Edward Ngoyai Lowassa awasili katika viwanja vya Msimbazi Center



Mhe. Edward Lowassa akiwasili katika viwanja vya Msimbazi jijini Dar es salaam kwa ajili ya kuongea na wawakilishi wa vikundi mbalimbali kutoka Dar es salaam leo Ijumaa 28/08/2015


Mhe. Edward Lowassa akiwasili katika viwanja vya Msimbazi jijini Dar es salaam kwa ajili ya kuongea na wawakilishi wa vikundi mbalimbali kutoka Dar es salaam leo Ijumaa 28/08/2015



M/kiti wa CHADEMA Mhe. Mbowe akiwasili Msimbazi Centre kufanya mjumuisho wa ziara ya mgombea Urais Dar

Meza kuu kwenye mkutano

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527