Tanzia!! MBUNGE WA TANZANIA AFARIKI KWA AJALI YA GARI..



 Habari zilizotufikia hivi punde zinasema kuwa Mbunge wa Viti maalumu CUF, Mama Clara Diana Mwatuka amefariki dunia kwa ajali.


Inaelezwa kuwa Gari lake limepinduka lilipokuwa linashuka Makonde Plateu kuelekea Ndanda

Gari ilikuwa inaendeshwa na dereva wake,ambaye inasemekana ni mwanae.Maiti ipo chumba cha maiti Hospitali ya Rufaa, Ndanda Regional Referral hospitali.

Chanzo-Jamii Forums

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553
Previous Post Next Post