MWALIMU ALIYEZAA NA MWANAFUNZI AUA MTOTO KISHA KUJINYONGA

NB-Picha ni ya Tukio jingine
Mwalimu mkuu wa shule ya msingi Mnaida, ndugu Lucas iliyoko Wilaya ya Newala Mkoani Mtwara amejinyonga hadi kufa.

Inasemekana kabla ya kujinyonga yeye alimnyonga kwanza mwanae wa kiume anaesoma darasa la tano halafu akajimaliza yeye.

Chanzo cha kufanya hivyo ni wivu wa mapenzi.

Miaka ya nyuma kidogo mwalimu huyo alimpa mimba binti aliyekuwa mwanafunzi ambae alimzalia mtoto huyo, baada ya kitendo hicho alimrudisha binti huyo shule akamsomesha yeye kuanzia form one hadi chuo, baadae mke wake huyo alipata kazi kama askari upelelezi, hapo ndo matatizo yalipoanzia.

Mwanamke alianza visa vya kumjengea mazingira ya kuachana nae, ikafika mahali kwa wenzake anamtambulisha kama kaka yake ili asijulikane kama ni mke wa mtu mbaya zaidi mke wake huyo alianza kumdai jamaa aseme ni kiasi gani cha fedha alizitumia kwa ajili yake ili amlipe.

Ndipo mwalimu huyo alipofikia uamuzi wa kujinyonga

Sababu za kumnyonga na mtoto kwa taarifa za watu wa pembeni ni kujenga mazingira ya kumuumiza mke wake huyo kwani kifo chake kisingeweza kumgusa kabisa huyo mke wake.

Inauma sana ila there is no way, kila dada kwa nini mnakuwa vyanzo vya matatizo? hapa simaanishi wote ila asilimia kubwa yenu huwa mkiwa na maisha duni mnakuwa wanyonge ila wanaume zenu wakijitolea mkafikishwa mlipokuwa mnapataka mnakuwa miiba.

Serious imeniuma but SINA MAANA KUWA WANAUME NI WAZURI AU WANAOFANYA HIVI NI WANAWAKE WOTE.BUT MOST OF WOMEN MNABADILIKA SANA.

Chanzo-kibonajoro.com

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553
Previous Post Next Post