ANGALIA PICHA JINSI MVUA ILIVYOHARIBU JIJI LA DAR ES SALAAM,WATU WAWILI WAFARIKI DUNIA
Thursday, May 07, 2015
Mvua iliyonyesha jijini Dar es salaam kwa zaidi ya saa 24 imesababisha majanga jijini humo.Jeshi la polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, limetoa tahadhari na kuwataka watu wanaofanyakazi maeneo ya mjini Posta na Kariakoo kuwahi kutoka maofisini kutokana na barabara kujaa maji.Habari tulizozipata hivi punde kutoka kwa Mbunge wa jimbo la Kinondoni Jijini Dar es Salaam, Mhe. Idd Azzan
amesema watu wawili wamekufa baada ya kusombwa na maji katika daraja la
Tandale.
Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa
Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundeblog@gmail.com
🚧🚦 Usiendeshe gari lako bila Mafunzo na Leseni halali_ 📲 Wasiliana nasi sasa: wa.me/255740273285 Unahitaji nini? 🚘 Unataka kujifunza udereva wa magari na kupata Cheti? 📄 Una cheti unataka kupata Leseni? 🔄 Unajua kuendesha lakini huna cheti wala leseni na unataka refresh upate cheti? 🛣️ Una nyaraka zote muhimu lakini unahitaji kujifua zaidi barabarani? ✅ Una Leseni bila cheti na unataka renew? 🌍 Tupo mikoa yote Tanzania hadi vijijini! 📞 Tupigie sasa: 0769 763 285
Social Plugin