Tazama Picha! SHEREHE YA KUZALIWA YA MTOTO WA MFANYAKAZI WA SAHARA MEDIA GROUP LIMITED

Mtoto Alley Shaaban Alley mkazi wa Kambarage mjini Shinyanga ambaye leo  April 28,2015 ametimiza umri wa miaka 11 na sherehe yake ya kuzaliwa imefanyika leo jioni katika ukumbi wa  Shy Villa uliopo katika Uwanja wa CCM Kambarage mjini Shinyanga na kuhudhuriwa na watu mbalimbali wenye mapenzi mema.Alley Shaaban Alley ni mtoto wa kwanza wa Mwandishi wa Habari wa Sahara Media Group Limited ( Star Tv/Radio Free Africa/Kiss Fm) bwana Shaaban Alley ambaye pia ni mkurugenzi wa Shalleyhabari blog-Picha zote na Kadama Malunde-Malunde1 blog

Watoto kutoka Kambarage walikuwepo pia kumpa sapoti mtoto mwenzao katika hafla hiyo fupi iliyofanyika katika Ukumbi wa Shy Villa katika Uwanja wa Kambarage mjini Shinyanga

Bwana Frank Mshana mwandishi wa habari ITV na Radio One akipata kinywaji laini

Ukumbi wa Shy Villa

Shaaban Alley akiwa na watoto,kushoto ni mtoto wake Alley Shaaban,kulia ni Mohamed  mudy

Watoto wakiwa ukumbini

Watoto katika pozi mbalimbali
Ni katika ukumbi wa Shy Villa Kambarage mjini Shinyanga

Sherehe inaendelea


Baba mtoto akizungumza jambo katika sherehe hiyo
Pozi na watoto

Msosi pia ulikuwepo

Wanabadilishana mawazo na kufurahia sherehe

Bi Kurthum  Alley ambaye ni shangazi yake na mtoto Alley Shaaban akimsaidia kukata keki

Furaha ikatawala

Mtoto Alley Shaaban akimlisha keki mama yake mzazi,bi Aziza Idd

Mtoto Alley Shaaban akimlisha keki baba yake

Sherehe inaendelea

Baba na mama wakimpa mkono wa pongezi mtoto wao kipenzi kwa kutimiza umri wa miaka 11

Zawadi zikachukua nafasi

Watoto wanampongeza mtoto mwenzao

Sherehe ikaisha kwa burudani-Picha zote na Kadama Malunde-Malunde1 blog 

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527