Tazama picha za Mshindi
wa tuzo ya EJAT 2014 (utawala bora),ambaye kitaaluma ni mwandishi wa habari bwana
Victor Bariety,aliyevaa suti nyeupe na shati jekundu,akikabidhiwa cheti
na makamu wa rais Dk Gharib Bilali katika ukumbi wa Mliman City jijini Dar es Salaam
Bwana
Victor Bariety pia ni miongoni wa waandishi wa habari wa mtandao huu wa Malunde1 blog mkoani Geita
Hapa akiwa na washindi wenzake
Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa
Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundeblog@gmail.com
🚧🚦 Usiendeshe gari lako bila Mafunzo na Leseni halali_ 📲 Wasiliana nasi sasa: wa.me/255740273285 Unahitaji nini? 🚘 Unataka kujifunza udereva wa magari na kupata Cheti? 📄 Una cheti unataka kupata Leseni? 🔄 Unajua kuendesha lakini huna cheti wala leseni na unataka refresh upate cheti? 🛣️ Una nyaraka zote muhimu lakini unahitaji kujifua zaidi barabarani? ✅ Una Leseni bila cheti na unataka renew? 🌍 Tupo mikoa yote Tanzania hadi vijijini! 📞 Tupigie sasa: 0769 763 285
Social Plugin