![]() |
![]() | ||
Mwanaporii akiwa amelowana baada ya kumwagiwa vinywaji mbalimbali na marafiki muda mfupi baada ya sherehe kuanza
|
![]() |
| Madam Caroline Arinaitwe kutoka nchini Uganda akiwasha mshumaa wakati wa sherehe hiyo usiku huu mjini Tabora |
Bwana Kindamba Namlia kutoka Tanzania akiongea jambo
![]() |
| Kulia ni mkurugenzi wa Malunde1 blog ndugu Kadama Malunde |
![]() |
| MC Natalis Natalis akiwasha mshumaa |
![]() |
| Vinywaji na keki |
![]() |
| Watangazaji wa radio kutoka mikoa mbalimbali nchini Tanzania |
![]() |
| Bi Veronica Natalis kutoka Radio Faraja Shinyanga akifuatilia kilichokuwa kinajiri |
![]() |
| Mshereheshaji mkuu Kindamba Namlia akifanya yake wakati wa sherehe |

Zoezi la kukata keki linaendelea
![]() |
| Mzee Titus kutoka CG FM Radio ya Tabora akifuatilia kilichokuwa kinajiri |
![]() |
| MC Kindamba akifurahia jambo |
![]() |
| Kushoto ni mkurugenzi wa Malunde1 blog Kadama Malunde akiwa na Mwanaporii leo usiku |
![]() |
| MC maarufu nchini Tanzania Natalis Natalis akiongea jambo |
![]() |
| Marafiki wakiwa eneo la tukio |
![]() |
| Mwanaporii akiwa na marafiki |
![]() |
| Mshereheshaji mkuu Kindamba Namlia akionesha mbwembweee!! |
![]() |
| Cheers!!!!!!!! |
![]() |
| Katikati ni MC Natalis Natalis akisikilizia utamu wa keki |
![]() |
| Kulia ni Revocatus kutoka Rasi fm akimlisha keki Mwanaporii |
![]() |
| Kushoto ni ndugu Revocatus kutoka Rasi fm ya Dodoma akisikilizia utamu wa keki |
![]() |
| Kushoto ni Anko Eddy kutoka TOP Radio ya Morogoro akilishwa keki na Mwanaporii |
![]() |
Steve Kanyefu a.k.a Mwanaporii,akiwa amevaa tshirt ya Malunde1 blog siku chache kabla ya sherehe yake ya kuzaliwa -Picha kutoka Maktaba yetu![]() Mwanaporii akifanya yake ndani ya studio za radio Faraja fm stereo-picha kutoka maktaba yetu |
Mtandao Huu Unakujali,Ni Wako!! Tunataka Tukutumie Habari zetu Zote Mara Tu Tunapozipandisha Mtandaoni.Kujiunga nasi Bonyeza Hapa Sasa Hivi ><<VITUKO>>,"MAPENZI",<<HABARI MSETO>>MAGAZETI

























Social Plugin