CCM YAISAMBARATISHA UKAWA HUKO KISHAPU NA SHINYANGA VIJIJINI
Friday, December 12, 2014
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) wilaya ya Shinyanga vijijini na Kishapu kimefanikiwa kuisambaratisha kambi ya Umoja wa Katiba ya wananchi (UKAWA) baada ya wagombea wake wengi kujitoa kuwania nafasi mbali za uongozi kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa utakaofanyika Desemba 14, mwaka huu.
🚧🚦 Usiendeshe gari lako bila Mafunzo na Leseni halali_ 📲 Wasiliana nasi sasa: wa.me/255740273285 Unahitaji nini? 🚘 Unataka kujifunza udereva wa magari na kupata Cheti? 📄 Una cheti unataka kupata Leseni? 🔄 Unajua kuendesha lakini huna cheti wala leseni na unataka refresh upate cheti? 🛣️ Una nyaraka zote muhimu lakini unahitaji kujifua zaidi barabarani? ✅ Una Leseni bila cheti na unataka renew? 🌍 Tupo mikoa yote Tanzania hadi vijijini! 📞 Tupigie sasa: 0769 763 285
Social Plugin