MTUHUMIWA WA MADAWA YA KULEVYA AUAWA KWA RISASI AKIJARIBU KUTOROKA MAHAKAMANI JIJINI DAR ES SALAAM
Wednesday, December 31, 2014
Mtuhumiwa
wa dawa za kulevya Abdul Koroma raia wa Sierra Leone amepigwa risasi na
kufa leo asubuhi wakati akijaribu kutoroka katika Mahakama ya Hakimu
Mkazi Kisutu Jijini Dar es Salaam.
Muonekano wa mahabusu aliyekuwa anatuhumiwa kubeba madawa ya kulevya, Abdul Koroma raia wa Sierra Leone baada ya kupigwa risasi.
Koroma akiwa kwenye machela tayari kwa kupelekwa kuifadhiwa hospitalini.
Mtuhumiwa
wa madawa ya kulevya raia wa Sierra Leone akiwa amepigwa risasi baada
ya kutaka kuwatoroka askari magereza katika Mahakama ya Kisutu jijini
Dar es Salaam.
🚧🚦 Usiendeshe gari lako bila Mafunzo na Leseni halali_ 📲 Wasiliana nasi sasa: wa.me/255740273285 Unahitaji nini? 🚘 Unataka kujifunza udereva wa magari na kupata Cheti? 📄 Una cheti unataka kupata Leseni? 🔄 Unajua kuendesha lakini huna cheti wala leseni na unataka refresh upate cheti? 🛣️ Una nyaraka zote muhimu lakini unahitaji kujifua zaidi barabarani? ✅ Una Leseni bila cheti na unataka renew? 🌍 Tupo mikoa yote Tanzania hadi vijijini! 📞 Tupigie sasa: 0769 763 285
Social Plugin