Wizi Misikitini!!! JAMAA ADAKWA AKIIBA VIATU VYA MUUMINI MSIKITINI
Monday, March 03, 2014
Kijana
anayesadikiwa kuwa kibaka wa kuiba viatu misikiti, aliyejitambulisha
kwa jina la Abubakar Abuu (32) akijieleza mbele ya waumini wa msikiti wa
Mwenge jijini Dar es salaam,baada ya kunaswa kaiba sendoz za muumini.Kijana
anayesadikiwa kuwa kibaka wa viatu msikiti katika picha za matukio
tofauti ikiwamo akiwa na viatu alivyoiba zinazoonekana mwishoni kulia.
Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa
Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundeblog@gmail.com
🚧🚦 Usiendeshe gari lako bila Mafunzo na Leseni halali_ 📲 Wasiliana nasi sasa: wa.me/255740273285 Unahitaji nini? 🚘 Unataka kujifunza udereva wa magari na kupata Cheti? 📄 Una cheti unataka kupata Leseni? 🔄 Unajua kuendesha lakini huna cheti wala leseni na unataka refresh upate cheti? 🛣️ Una nyaraka zote muhimu lakini unahitaji kujifua zaidi barabarani? ✅ Una Leseni bila cheti na unataka renew? 🌍 Tupo mikoa yote Tanzania hadi vijijini! 📞 Tupigie sasa: 0769 763 285
Social Plugin