Kijana
anayesadikiwa kuwa kibaka wa kuiba viatu misikiti, aliyejitambulisha
kwa jina la Abubakar Abuu (32) akijieleza mbele ya waumini wa msikiti wa
Mwenge jijini Dar es salaam,baada ya kunaswa kaiba sendoz za muumini.
Kijana
anayesadikiwa kuwa kibaka wa viatu msikiti katika picha za matukio
tofauti ikiwamo akiwa na viatu alivyoiba zinazoonekana mwishoni kulia.
Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa
Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553