MH. SAMIA SULUHU NDIYO MAKAMU MWENYEKITI BUNGE MAALUM LA KATIBA


Mh.Samia Suluhu amekuwa Makamu Mwenyekiti mteule wa Bunge maalum la katiba baada ya kupata kura 390 dhidi ya mpinzani wake Mh.Amina Amour ambae alipata kura 126, sasa hivi bunge maalum la katiba limepata Mwenyekiti pamoja na Makamu Mwenyekiti wa kudumu baada ya uchaguzi wa jana na leo.
hii ndio mwanzo wa safari ya kuelekea kupata katiba mpya ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, hii ni baada ya Mwenyekiti wa muda Mh. Pandu Ameir Kificho kuwa Mwenyekiti wa muda toka mchakato wa huu ulipoanza.

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553
Previous Post Next Post