Wanawake wajasiriamali wakifurahia majibu mazuri ya maswali yao kutoka kwa maafisa wa CRDB,ambapo maafisa hao walisema benki hiyo ina pesa za kutosha hivyo ni kazi kwao tu kwenda kuomba mikopo |
Duh! ukumbi wa NSSF mjini Shinyanga ulijaa kiasi kwamba wengine wakabaki mlangoni wamesimama |
Ukumbi ulijaa na wengine wakalazimika kukaa chini kufuatilia mafunzo hayo muhimu kwa ajili ya kujiinua kiuchimi |
Mafunzo yanaendelea |
Post a Comment