Video: WASANII WA BONGO FLEVA WA WAKUTANA KUJADILI KUPOTEA KWA ROMA MKATOLIKI
Wasanii wa muziki wa Bongo Fleva nchini kwa pamoja wameungana na kuviomba vyombo vya usalama nchini kufanya juhudi za kumtafut…
Wasanii wa muziki wa Bongo Fleva nchini kwa pamoja wameungana na kuviomba vyombo vya usalama nchini kufanya juhudi za kumtafut…
Ikiwa leo ni siku ya pili tangu ilipotolewa taarifa kuwa msanii Roma Mkatoliki alitekwa na watu wasiojulikana akiwa pamoja na …
Jana usiku taarifa za kukamatwa kwa msanii wa hip hop Roma Mkatolikia zilianza kuenea katika mitandao ya kijamii kwa kuripot…
Mke wa Roma Mkatoliki, Nancy ambaye ni mama wa mtoto mmoja aitwae Ivan, amedai yeye pamoja na ndugu zake wameshazunguka kila …
Ninayo video mpya ya Bibi Cheka inaitwa Nalia ...Tazama hapa chini
Mwanamuziki Nay wa Mitego ameachiwa huru kutoka katika Kituo cha Polisi cha Kati Dar es Salaam ikiwa ni saa chache tangu Rais…
Baada ya Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Dkt Harrison Mwakyembe, March 27, 2017 kutoa agizo kwa Jeshi la Polisi k…
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dk. Harrison Mwakyembe, ameliagiza Jeshi la Polisi kumuachia huru Msanii Ney …
Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Jeshi la Polisi Mkoani Morogoro, Kamanda Ulrich Matei amethibitisha kukamatwa kwa msanii Nay …
Mwanamuziki Emmanuel Elibariki maarufu Nay wa Mitego amekamatwa na Polisi leo asubuhi mkoani Morogoro na kupelekwa katika Ki…
Msanii wa nyimbo za asili Mami Saye ametukaribisha kutazama video yake mpya inaitwa Kangwi
Ngoma mpya ya msanii wa nyimbo za asili Mami Saye inaitwa Nakachola,itazame hapa chini
Ninayo hapa ngoma mpya na kali ya msanii Nyanda Runduma,itazame hapa chini mtu wangu..
Mwanamuziki Vanessa Mdee maarufu Vee Money ameachiwa kwa dhamana na Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam baada ya ku…
Kila weekend Malunde1 blog lazima ikuletee ngoma za asili…Tayari Tunazo ngoma kali 8….zimo tatu za wanawake wa nguvu…Mama Ush…
Msanii wa nyimbo za asili Pilly Nzalia ametualika kutazama ngoma yake mpya inaitwa 'Ndagu'...
Ninayo hapa ngoma mpya kabisa ya msanii wa nyimbo za asili 'Soji' inaitwa Harusi ya Shija Luboja...Tazama hapa chini…
Kamishna wa Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Simon Siro amesema jeshi hilo bado linawashikilia Wasanii maarufu wa muziki wa kiza…
Our website uses cookies to improve your experience. Learn more
Ok