Habari Mpya

6/recent/ticker-posts

WAJUMBE WOTE WA TUME YA JAJI CHANDE NI WABOBEVU, WATATENDA HAKI:MREMA



Na mwandishi wetu, Dar

Mkurugenzi wa Mawasiliano wa Chama Cha Ukombozi wa Uma John Mrema amesema kuwa kwa sasa ana matumaini makubwa na Tume ya Jaji Chande kwa sababu Tume hiyo Ina watu weledi sana.

Mrema ameongeza kuwa Tume hiyo ni bora kwa kuwa imeundwa na Rais Samia kwa ajili ya kuwasaidia watanzania. 

"Imani yangu ni kuwa itafanya kazi nzuri kama ilivyokusudiwa kwa maslahi ya taifa na watanzania kwa ujumla, " amesema

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundeblog@gmail.com