Habari Mpya

6/recent/ticker-posts

RAIS MSTAAFU WA MALAWI, MJUMBE MAALUM WA KATIBU MKUU WA JUMUIYA YA MADOLA WAWASILI NCHINI KWA ZIARA YA KIKAZI



Mhe. Lazarus Chakwera (kushoto), Rais wa zamani wa Jamhuri ya Malawi na Mjumbe Maalum wa Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Madola, Mhe. Shirley Ayorkor Botchwey, wamewasili nchini usiku wa tarehe 08 Aprili 2026 usiku kwa ziara ya kikazi. Mhe. Chakwera amepokelewa katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere na Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Dkt. Ngwaru Maghembe (kulia).








Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundeblog@gmail.com