Mwigizaji mkongwe wa tasnia ya filamu nchini (Bongo Movie), Hashim Kambi, amefariki dunia leo Aprili 27,2026 Jijini Dar es salaam.
Taarifa za kifo chake zimethibitishwa na mwigizaji mwenzake, William Mtitu, ambaye ameeleza kwa masikitiko makubwa kuhusu msiba huo.



Social Plugin