Habari Mpya

6/recent/ticker-posts

Tanzia : MWIGIZAJI MKONGWE HASHIM KAMBI AFARIKI DUNIA

Mwigizaji mkongwe wa tasnia ya filamu nchini (Bongo Movie), Hashim Kambi, amefariki dunia leo Aprili 27,2026 Jijini Dar es salaam.

Taarifa za kifo chake zimethibitishwa na mwigizaji mwenzake, William Mtitu, ambaye ameeleza kwa masikitiko makubwa kuhusu msiba huo.

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundeblog@gmail.com