
Ilikuwa ni harusi iliyovutia wengi, picha zilizosheheni mitandao, mavazi ya kifahari, muziki wa moja kwa moja na wageni waliomiminika kushuhudia kiapo cha mapenzi.
Lakini siku saba tu baada ya sherehe hiyo, binti mmoja mwenye umri wa miaka 24 alijikuta katika ofisi ya wakili akiwasilisha ombi la talaka baada ya kugundua kuwa mume wake alikuwa tayari na wake wawili wengine aliokuwa akiwaficha kupitia akaunti za siri za TikTok.
Social Plugin