Habari Mpya

6/recent/ticker-posts

NILIANZA MWAKA MPYA NIKIWA NAOGOPA WIVU KAZINI HATUA NILIZOCHUKUA KUNILINDA


Kuingia mwaka mpya kazini kulinipa hofu isiyo ya kawaida. Nilikuwa nimepata dalili za wivu na maneno ya chini chini kutoka kwa baadhi ya watu niliokuwa nafanya nao kazi. Kila nilipofanikisha jambo, nilihisi macho ya watu yakinifuata, minong’ono ikaongezeka, na mazingira ya kazi yakaanza kunikosesha amani.

Nilijiuliza kama mwaka huu nao ungekuwa wa migogoro na kurudishwa nyuma. Nilijaribu kujilinda kwa njia nilizojua kukaa kimya, kufanya kazi kwa bidii zaidi, na kuepuka mabishano. Lakini presha haikupungua.

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundeblog@gmail.com