Habari Mpya

6/recent/ticker-posts

Breaking : HAYA HAPA MATOKEO YA MTIHANI WA DARASA LA SABA (PSLE) 2025



Baraza la Mitihani Tanzania (NECTA) limesema watahiniwa 937,581, sawa na asilimia 81.8 ya watahiniwa milioni 1.14 wenye matokeo, wamefaulu mtihani wa kumaliza Elimu ya Msingi mwaka 2025.



Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundeblog@gmail.com