Habari Mpya

6/recent/ticker-posts

TBS YASHIRIKI MAONESHO YA NANE NANE MKOANI LINDI


Afisa Udhibiti Ubora (TBS) Bw. Ismail Laizer akitoa elimu kuhusu masuala ya viwango kwa wananchi waliohudhuria maonesho ya nanenane yaliyofanyika katika viwanja vya Ngongo Mkoani Lindi.

TBS imewasisitiza wananchi kutotumia vipodizi vyenye viambata sumu kwa ajili ya usalama wa kiafya.

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundeblog@gmail.com