Habari Mpya

6/recent/ticker-posts

JACKLINE ISARO ANG'ARA KURA ZA MAONI NGOKOLO


Katika uchaguzi wa kura za maoni za Chama Cha Mapinduzi (CCM) kata ya Ngokolo, Manispaa ya Shinyanga, Jackline Isaro ameibuka mshindi kwa kishindo baada ya kuwaburuza wapinzani wake akiwemo aliyekuwa anatetea kiti chake Victor Mkwizu.

Jackline amepata kura 120, akifuatiwa na Hatibu Mgeja aliyepata kura 87, Victor Mkwizu kura 3 na Makwaiya kura 1.

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundeblog@gmail.com