Aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Kisesa, nchini Tanzania, Luhaga Joelson Mpina amejiunga rasmi na Chama cha ACT Wazalendo, ambapo amesajiliwa kupitia mfumo wa kidijitali wa chama hicho ujulikanao kama ACT Wazalendo Kiganjani.
Usajili huo umefanywa na Kiongozi wa Chama cha ACT Wazalendo, Dorothy Semu, ambaye alimkaribisha rasmi Mpina na kumpa hadhi ya kuwa mwanachama wa chama hicho chenye mwelekeo wa kijamaa na kidemokrasia.
Kiongozi wa Chama cha ACT Wazalendo Dorothy Semu, akimsajili Luhaga Joelson Mpina katika Mfumo wa ACT Wazalendo Kiganjani na kuwa mwanachama rasmi wa ACT Wazalendo.
Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa
Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundeblog@gmail.com
🚧🚦 Usiendeshe gari lako bila Mafunzo na Leseni halali_ 📲 Wasiliana nasi sasa: wa.me/255740273285 Unahitaji nini? 🚘 Unataka kujifunza udereva wa magari na kupata Cheti? 📄 Una cheti unataka kupata Leseni? 🔄 Unajua kuendesha lakini huna cheti wala leseni na unataka refresh upate cheti? 🛣️ Una nyaraka zote muhimu lakini unahitaji kujifua zaidi barabarani? ✅ Una Leseni bila cheti na unataka renew? 🌍 Tupo mikoa yote Tanzania hadi vijijini! 📞 Tupigie sasa: 0769 763 285
Social Plugin