CHIEF ABDALLAH SUBE NA MBIO ZA UBUNGE SHINYANGA MJINI KUPITIA ADA - TADEA
Wednesday, August 27, 2025
Mgombea Ubunge wa Jimbo la Shinyanga Mjini kupitia Chama ADA TADEA, Chief Abdallah Sube, amerejesha rasmi fomu za uteuzi kuwania nafasi hiyo katika Ofisi za Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC).
Urejeshaji wa fomu umefanyika kwa utaratibu ikiwa ni hatua ya kuanza rasmi kwa kampeni zake kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2025.
Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa
Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundeblog@gmail.com
🚧🚦 Usiendeshe gari lako bila Mafunzo na Leseni halali_ 📲 Wasiliana nasi sasa: wa.me/255740273285 Unahitaji nini? 🚘 Unataka kujifunza udereva wa magari na kupata Cheti? 📄 Una cheti unataka kupata Leseni? 🔄 Unajua kuendesha lakini huna cheti wala leseni na unataka refresh upate cheti? 🛣️ Una nyaraka zote muhimu lakini unahitaji kujifua zaidi barabarani? ✅ Una Leseni bila cheti na unataka renew? 🌍 Tupo mikoa yote Tanzania hadi vijijini! 📞 Tupigie sasa: 0769 763 285
Social Plugin