KATIBU MKUU MSTAAFU ARCH. ELIUS MWAKALINGA ACHUKUA FOMU YA UBUNGE KYELA
Tuesday, July 01, 2025
Aliyekuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi, Arch. Elius Mwakalinga, ameibuka rasmi kwenye kinyang’anyiro cha kuwania ubunge wa Jimbo la Kyela kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), baada ya kuchukua fomu ya kuomba ridhaa ya kugombea leo Julai 1, 2025, katika ofisi za chama hicho wilayani humo.
Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa
Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundeblog@gmail.com
🚧🚦 Usiendeshe gari lako bila Mafunzo na Leseni halali_ 📲 Wasiliana nasi sasa: wa.me/255740273285 Unahitaji nini? 🚘 Unataka kujifunza udereva wa magari na kupata Cheti? 📄 Una cheti unataka kupata Leseni? 🔄 Unajua kuendesha lakini huna cheti wala leseni na unataka refresh upate cheti? 🛣️ Una nyaraka zote muhimu lakini unahitaji kujifua zaidi barabarani? ✅ Una Leseni bila cheti na unataka renew? 🌍 Tupo mikoa yote Tanzania hadi vijijini! 📞 Tupigie sasa: 0769 763 285
Social Plugin