Habari Mpya

6/recent/ticker-posts

MWANAIDI ALI KHAMISI ACHUKUA FOMU KUWANIA UBUNGE


Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe. Mwanaidi Ali Khamis, amechukua fomu ya kugombea nafasi ya Ubunge wa Viti Maalum kupitia Vyuo Vikuu katika Mkoa wa Kusini Unguja.

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com