Habari Mpya

6/recent/ticker-posts

DKT. CHRISTINA MZAVA ACHUKUA FOMU UBUNGE VITI MAALUM SHINYANGA

Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Shinyanga Dkt. Christina Mzava amechukua fomu ya kuomba ridhaa ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) ili kugombea tena nafasi ya ubunge wa viti maalum kwa wanawake kupitia Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT).

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com