Habari Mpya

6/recent/ticker-posts

SUBIRA MGALU ACHUKUA FOMU KUWANIA UBUNGE BAGAMOYO

Aliyekuwa mbunge wa viti maalum mkoani Pwani, Subira Khamis Mgalu, leo June 29,2025 amechukua fomu ya kuwania nafasi ya ubunge katika Jimbo la Bagamoyo mkoani Pwani.

Mgalu amechukua fomu hiyo katika Ofisi ya CCM Wilaya ya Bagamoyo na kukabidhiwa na Katibu wa CCM Wilaya ya Bagamoyo,Shabani Karage.

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com