Habari Mpya

6/recent/ticker-posts

MHANDISI  MSHAMU MMUNDE ACHUKUA FOMU KUGOMBEA UBUNGE JIMBO LA LIWALE

Mhandisi Mshamu Mmunde, mkoani Mtwara, akionesha fomu ya kuomba ridhaa Kugombea Ubunge Jimbo la Liwale kupitia CCM.
Aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa Halmashauri ya Wilaya ya Nanyamba Mhandisi Mshamu Mmunde, mkoani Mtwara, ametangaza rasmi kuwania ubunge baada ya kuchukua fomu ya kuomba ridhaa Kugombea Ubunge Jimbo hilo kupitia CCM.

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com