MHANDISI MSHAMU MMUNDE ACHUKUA FOMU KUGOMBEA UBUNGE JIMBO LA LIWALE
Monday, June 30, 2025
Mhandisi Mshamu Mmunde, mkoani Mtwara, akionesha fomu ya kuomba ridhaa Kugombea Ubunge Jimbo la Liwale kupitia CCM.
Aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa Halmashauri ya Wilaya ya Nanyamba Mhandisi Mshamu Mmunde, mkoani Mtwara, ametangaza rasmi kuwania ubunge baada ya kuchukua fomu ya kuomba ridhaa Kugombea Ubunge Jimbo hilo kupitia CCM.
Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa
Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundeblog@gmail.com
🚧🚦 Usiendeshe gari lako bila Mafunzo na Leseni halali_ 📲 Wasiliana nasi sasa: wa.me/255740273285 Unahitaji nini? 🚘 Unataka kujifunza udereva wa magari na kupata Cheti? 📄 Una cheti unataka kupata Leseni? 🔄 Unajua kuendesha lakini huna cheti wala leseni na unataka refresh upate cheti? 🛣️ Una nyaraka zote muhimu lakini unahitaji kujifua zaidi barabarani? ✅ Una Leseni bila cheti na unataka renew? 🌍 Tupo mikoa yote Tanzania hadi vijijini! 📞 Tupigie sasa: 0769 763 285
Social Plugin