Habari Mpya

6/recent/ticker-posts

WAANDISHI WA HABARI SHINYANGA NA MWANZA WATEMBELEA UWANJA WA NDEGE IBADAKULI- SHINYANGA


Waandishi wa habari mikoa ya Shinyanga na Mwanza wakiongozwa na Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo na Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa leo Mei 3,2025 wametembelea maendeleo ya mradi ukarabati na upanuzi wa uwanja wa Ndege wa Ibadakuli Mkoani Shinyanga - Picha na Kadama Malunde

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com