Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwahutubia Viongozi, Wadau wa habari pamoja na wageni mbalimbali waliohudhuria hafla ya utoaji wa Tuzo za Samia Kalamu Awards2025 kwa Waandishi wa Habari katika ukumbi wa The Super Dome Masaki Jijini Dar es Salaam tarehe 05 Mei, 2025.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye hafla ya utoaji wa Tuzo za Samia Kalamu Awards 2025 kwa Waandishi wa Habari iliyofanyika katika ukumbi wa The Super Dome Masaki Jijini Dar es Salaam tarehe 05 Mei, 2025.
























Waziri wa Madini Mhe. Anthony Mavunde akimkabidhi tuzo ya Mwandishi Mahiri wa Habari za Madini ,Dotto Dosca Kwilasa Mwandishi wa Malunde Media (Malunde 1 blog) wakati wa hafla ya tuzo za Samia Kalamu Awards 2025.
@malundeblog Mwandishi wa habari na mtengenezaji hodari wa maudhui ya kidijitali kupitia Malunde Media (Malunde 1 Blog), Dotto Dosca Kwilasa, ameandika historia kwa kushinda tuzo ya Mwandishi Mahiri wa Habari za Madini katika tuzo kubwa za Samia Kalamu Awards 2025!https://www.malunde.com/2025/05/Kwilasa.html
♬ original sound - Malunde
Mwandishi wa habari na mtengenezaji hodari wa maudhui ya kidijitali kupitia Malunde Media (Malunde 1 Blog), Dotto Dosca Kwilasa, ameandika historia kwa kushinda tuzo ya Mwandishi Mahiri wa Habari za Madini katika tuzo kubwa za Samia Kalamu Awards 2025! https://t.co/qG9619OV6V pic.twitter.com/qizjXmrjBy
— Malunde 1 Blog (@malundekadama) May 6, 2025
Social Plugin