Habari Mpya

6/recent/ticker-posts

MKOMBE LOGISTICS YARAHISISHA BIASHARA TANZANIA 🔛 AFRIKA KUSINI | SAFIRISHA MZIGO KWA URAHISI!


Wafanyabiashara wadogo kwa wakubwa wanaoshughulika na biashara kati ya Tanzania na Afrika Kusini sasa wana sababu ya kutabasamu, baada ya kampuni ya kizalendo ya Kitanzania – Mkombe Logistics kupanua huduma zake na kuzindua rasmi kitengo maalum cha “Mkombe Clearing and Forward” kinachotoa huduma bora za usafirishaji na usafirishaji wa mizigo (clearing & forwarding).

Kwa hatua hii mpya, wafanyabiashara kutoka Tanzania wanaofanya biashara na Afrika Kusini au kinyume chake, wanarahisishiwa upatikanaji wa huduma zote muhimu za usafirishaji wa mizigo hadi mlangoni, kwa ufanisi na kwa gharama nafuu.

Kitengo hiki kipya kimeanzishwa mahsusi kuhudumia wafanyabiashara wa Tanzania na nchi za Afrika Mashariki, kikilenga kutoa huduma za: 

👉Forodha (customs clearance)

👉Usafirishaji wa bidhaa (freight forwarding)

👉Usaidizi wa uagizaji na usambazaji wa mizigo

Mkombe Logistics ni kampuni yenye leseni rasmi ya kufanya shughuli za usafirishaji katika nchi zote za SADC – hatua inayowapa Watanzania fahari na nafasi pana zaidi ya kushiriki katika biashara ya kikanda kwa ufanisi.

📍 Anuani ya Ofisi Mpya:

Mkombe Trading & Logistics Company
7 Taljaard Road,
Bartlett, Boksburg,
Johannesburg, South Africa
🌐 www.mkombeclearing.com

📞 Mawasiliano:

👉Simu: +27 60 474 9717 / +27 11 392 5650 au +255746209547

👉Barua pepe: info@mkombeclearing.com

Ikiwa unahitaji huduma za kuagiza bidhaa kutoka Afrika Kusini au kutuma bidhaa zako kutoka Tanzania, Mkombe Clearing and Forward ni jibu la uhakika. 











💠 Fast, affordable clearing & forwarding services for all your cargo needs

✅ Customs clearing
✅ Forwarding services
✅ Air Imports & Exports
✅ Sea Freight
✅Cargo Handling
✅Third Party Logistics
✅Inventory Management
✅Express Cargo Handling
📞🥏 +27113925650
🌐 www.mkombeclearing.com
📌 Mkombe Clearing & Forward - Your Cargo's Journey begins with us! We make moving easy, safe and reliable!

@malundeblog

🎁🟣 DONDOSHA Parcel Bongo, Bondeni Kirahisi Kabisa! Ni uhakika na rahisi kabisa kusafirisha Mzigo wako kupitia Mkombe Logistics! Wafanyabiashara Watanzania - Afrika Kusini Watabasamu: Huduma za Mkombe Logistics Zawafikia _Kampuni ya kizalendo ya Mkombe Logistics (PTY) Ltd imezindua kitengo kipya cha Mkombe Clearing and Forward Jijini Johannesburg kwa ajili ya kutoa huduma za usafirishaji wa mizigo na forodha kati ya Tanzania na Afrika Kusini 📌 Huduma hizo ni: 🔷Forodha (customs clearance) 🔻Usafirishaji wa mizigo (freight forwarding) 💠Uagizaji na usambazaji wa bidhaa hadi mlangoni 📞🥏 +27 60 474 9717 | +27 11 392 5650 🌐 www.mkombeclearing.com 📧 info@mkombeclearing.com 👇🏻 https://www.malunde.com/2025/05/Biashara-Tz-SA.html?m-

♬ original sound - Malunde

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com