NAIBU KATIBU MKUU MONGELLA KUFUNGA KAMPENI ZA CCM UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA MKOA WA SHINYANGA
Monday, November 25, 2024
Naibu Katibu Mkuu CCM Bara Ndugu John V. K. Mongella anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika mkutano wa kufunga kampeni za CCM kwa ajili ya uchaguzi wa Serikali za mitaa mwaka 2024 Mkoa wa Shinyanga, utakaofanyika tarehe 26 Novemba 2024, Kata ya Kitangiri, mkoani humo.
Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa
Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundeblog@gmail.com
🚧🚦 Usiendeshe gari lako bila Mafunzo na Leseni halali_ 📲 Wasiliana nasi sasa: wa.me/255740273285 Unahitaji nini? 🚘 Unataka kujifunza udereva wa magari na kupata Cheti? 📄 Una cheti unataka kupata Leseni? 🔄 Unajua kuendesha lakini huna cheti wala leseni na unataka refresh upate cheti? 🛣️ Una nyaraka zote muhimu lakini unahitaji kujifua zaidi barabarani? ✅ Una Leseni bila cheti na unataka renew? 🌍 Tupo mikoa yote Tanzania hadi vijijini! 📞 Tupigie sasa: 0769 763 285
Social Plugin