
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwasili katika uwanja wa Ndege wa Songea kwa ajili ya kuanza ziara ya kikazi Mkoani Ruvuma tarehe 23 Septemba, 2024.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na viongozi mbalimbali mara baada ya kuwasili katika uwanja wa Ndege wa Songea kwa ajili ya kuanza ziara ya kikazi Mkoani Ruvuma tarehe 23 Septemba, 2024.







Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dr @SuluhuSamia alipowasili Uwanja wa Ndege wa Songea Mkoani Ruvuma kwenye Ziara ya Kikazi leo September 23,2024. pic.twitter.com/D4WtshQvJL
— Malunde 1 Blog (@malundekadama) September 23, 2024
Social Plugin