![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhOX82nsK6jXekSVtIJx1szFR6uNTEY3EZWFPRQh1GhFiCsVOB3WK0ZWLl8rApsECoY8WHIQzo_5vUX_i0S6LNAmwn7SHkDxbCI5UVM90MgTniIjMuKKZHLgfHMbqvxdooJivO-kScwcnTeeVmY6M-Jll8gPWwwhkvOkIj1Aq6ZmujfXENs34Jkz5UzJw/w640-h390/IMG-20240507-WA0032.jpg)
"Katika kuimarisha matumizi ya sayansi, teknolojia na ubunifu, Serikali imeandaa Mkakati wa Kitaifa wa Matumizi ya TEHAMA na teknolojia nyingine za kufundishia na kujifunzia kwa lengo kuongeza ufanisi katika ufundishaji;
imeendelea kusimamia bunifu mbalimbali zilizobuniwa kupitia watumishi na wanafunzi ili ziweze kufika hatua ya kuuzika sokoni, bunifu hizo ni uundaji wa mita za malipo kabla ya matumizi; Programu ya Bi - Shamba na Programu ya Leo Leo Gulio” - Prof Adolf Mkenda, Waziri wa Elimu, Sanyansi na Teknolojia