SERIKALI IMEANDAA MKAKATI WA KITAIFA WA MATUMIZI YA TEHAMA NA TEKNOLOJIA NYINGINE ZA KUFUNDISHIA

 
"Katika kuimarisha matumizi ya sayansi, teknolojia na ubunifu, Serikali imeandaa Mkakati wa Kitaifa wa Matumizi ya TEHAMA na teknolojia nyingine za kufundishia na kujifunzia kwa lengo kuongeza ufanisi katika ufundishaji;

imeendelea kusimamia bunifu mbalimbali zilizobuniwa kupitia watumishi na wanafunzi ili ziweze kufika hatua ya kuuzika sokoni, bunifu hizo ni uundaji wa mita za malipo kabla ya matumizi; Programu ya Bi - Shamba na Programu ya Leo Leo Gulio” - Prof Adolf Mkenda, Waziri wa Elimu, Sanyansi na Teknolojia

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553
Previous Post Next Post