RAIS SAMIA AFANYA MAGEUZI HUDUMA BORA ZA AFYA, KILIMO

 


Na Mwandishi Wetu, 

Mbunge wa Jimbo la Peramiho Mhe. Jenista Mhagama amesema Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuhakikisha upatikanaji wa huduma bora ya afya  pamoja na ruzuku ya mbolea kwa wakulima katika Mkoa wa Ruvuma.

Mhe. Jenista ameyasema hayo wakati wa ziara ya  Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Balozi, Dkt. Emmanuel Nchimbi mkoani Ruvuma.

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553
Previous Post Next Post