WAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA AWASILI JIJINI MBEYA KUHUDHURIA KONGAMANO LA NNE LA IDHAA ZA KISWAHILI

HABARI PICHA.. 






Na Mwandishi Maalum,Mbeya

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa amewalisi uwanja wa ndege wa Songwe Jijini Mbeya kwa lengo la kumwakilisha Mheshimiwa Rais Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan  katika Kongamano la Nne la Idhaa za Kiswahili Duniani 2024 katika Hoteli ya Eden Highlands Jijini Mbeya tarehe 18 Machi, 2024. 

Kaulimbiu ya Kongamano hilo ni; “Tasnia ya Habari ni Fursa za Ubidhaishaji Kiswahili Duniani”


Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553
Previous Post Next Post