WAFANYAKAZI WA BARRICK BULYANHULU WASHIRIKI MBIO ZA ZERO MALARIA


Baadhi ya washiriki wakifurahi baada ya kumaliza mbio hizo

****
Wafanyakazi wa Mgodi wa dhahabu wa Barrick Bulyanhulu, uliopo halmashauri ya wilaya ya Msalala, Mkoani Shinyanga, mwishoni mwa wiki wameshiriki mbio za zenye urefu wa kilomita tano, kumi na 21 zilizoandaliwa na mgodi huo ikiwa ni mwendelezo wa kampeni ya kuhamasisha kutokomeza ugonjwa wa Malaria yenye kauli mbiu ya ZERO MALARIA INAANZA NA MIMI ,WEWE NA SISI SOTE.

Kampeni hiyo ambayo imezinduliwa karibuni tayari imewafikia wananchi wa kata za wilaya ya Msalala, ambao pia wamegawiwa vyandarua huku mikakati ya kupulizia dawa za kuua mbu majumbani na kwenye mazalio ya mbu zikiwa zinaendelea.

Afisa Raslimali Watu Mwandamizi wa Barrick Bulyanhulu,Renatus Malawa, akiongea na washiriki wa mbio hizo
Washiriki wakiwa katika ya pamoja baada ya kupewa medali za kushiriki
Baadhi ya washiriki wakikimbia
Baadhi ya washiriki wakikimbia
Washiriki wakipewa medali za ushiriki
Washiriki wakipewa medali za ushiriki
Washiriki wakipewa medali za ushiriki
Washiriki wakipewa medali za ushiriki
Washiriki wakipewa medali za ushiriki
Washiriki wakipewa medali za ushiriki
Washiriki wakipewa medali za ushiriki


Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553
Previous Post Next Post