JOKATE ACHAGULIWA KUWA KATIBU MKUU WA UWT


Kamati kuu ya Halmashauri kuu ya chama Cha Mapindunzi (CCM) imemteua Jokate Mwegelo kuwa Katibu mkuu wa Umoja wa wanawake Tanzania (U.W.T) kabla ya uteuzi huu Jokate alikuwa mkuu wa wilaya ya Korogwe.

Pia,Kamati kuu ya Halmashauri kuu ya Chama Cha Mapindunzi (CCM) imemteua Fakii Raphael Lulandala kuwa Katibu mkuu wa Umoja wa vijana wa Chama Cha mapindunzi (CCM) ambaye kabla ya uteuzi alikuwa mkuu wa wilaya ya Momba mkoani Songwe.


Katika hatuna nyingine Kamati kuu ya Halmashauri kuu ya Chama Cha Mapindunzi imemteua Hamad Khamis Hamad kuwa mgombea wa CCM wa nafasi ya uwakilishi katika Jimbo la matembwe.






Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553
Previous Post Next Post