EWURA YAKIFUNGIA KITUO CHA GBP TABORA KWA KUTOUZA MAFUTA
Sunday, September 03, 2023
Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji EWURA , leo 3 Septemba, 2023 imekifungia Kituo cha GBP Tabora, kutokana na kutouza mafuta kwa wateja huku kwenye maghala yake mafuta yakiwemo.
Kituo hicho kimefungiwa baada ya kukiuka Kanuni za uendeshaji biashara ya mafuta nchini.
Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa
Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundeblog@gmail.com
🚧🚦 Usiendeshe gari lako bila Mafunzo na Leseni halali_ 📲 Wasiliana nasi sasa: wa.me/255740273285 Unahitaji nini? 🚘 Unataka kujifunza udereva wa magari na kupata Cheti? 📄 Una cheti unataka kupata Leseni? 🔄 Unajua kuendesha lakini huna cheti wala leseni na unataka refresh upate cheti? 🛣️ Una nyaraka zote muhimu lakini unahitaji kujifua zaidi barabarani? ✅ Una Leseni bila cheti na unataka renew? 🌍 Tupo mikoa yote Tanzania hadi vijijini! 📞 Tupigie sasa: 0769 763 285
Social Plugin