MKURUGENZI MTENDAJI BENKI YA CRDB ATEMBELEA MAONYESHO YA SABASABA



Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Abdulmajid Nsekela (wapili kushoto) akiwa ameambatana na Meneja wa Benki ya CRDB Kanda ya Mashariki, Badru Idd (kulia) pamoja na maafisa wengine wa benki hiyo wakati wakitembelea Maonesho ya 47 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (Sabasaba), yanaoendelea katika viwanja vya Mwalimu J.K Nyerere, jijini Dar es salaam leo.
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Abdulmajid Nsekela akipata maelezo kutoka kwa Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara Tanzania (TANTRADE), Latifa Mohamed (wapili kulia) katika Maonesho ya 47 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (Sabasaba), yanaoendelea katika viwanja vya Mwalimu J.K Nyerere, jijini Dar es salaam leo. Kulia ni Meneja wa Benki ya CRDB Kanda ya Mashariki, Badru Idd na kushoto ni Meneja wa Benki ya CRDB tawi la Sabasaba, Zoe Kafulusu.
Waziri wa Biashara na Maendeleo ya Viwanda Zanzibar, Omar Said Shaban akisalimiana na Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Abdulmajid Nsekela wakati walipokutana katika ukumbi maalum wa wageni katika Maonesho ya 47 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (Sabasaba), yanaoendelea katika viwanja vya Mwalimu J.K Nyerere, jijini Dar es salaam leo.
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Abdulmajid Nsekela akizungumza na baadhi ya Maafisa wa benki hiyo wanaotoa huduma za kibenki katika Maonesho ya 47 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (Sabasaba), yanaoendelea katika viwanja vya Mwalimu J.K Nyerere, jijini Dar es salaam leo.
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Abdulmajid Nsekela akisalimiana na baadhi ya Maafisa wa benki hiyo wanaotoa huduma za kibenki katika Maonesho ya 47 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (Sabasaba), yanaoendelea katika viwanja vya Mwalimu J.K Nyerere, jijini Dar es salaam leo wakati alipotembelea maonyesho hayo.
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Abdulmajid Nsekela akipata maelezo kutoka kwa Meneja Mahusiano ya Biashara wa Benki ya CRDB Kanda ya Mashariki, Lughano Nselu wakati alipotembelea Banda la benki hiyo katika Maonesho ya 47 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (Sabasaba), yanaoendelea katika viwanja vya Mwalimu J.K Nyerere, jijini Dar es salaam leo wakati alipotembelea maonyesho hayo.






Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553
Previous Post Next Post