MAADUI WAPAGAWA KWA ULINZI NILIONAO NYUMBA YENYE MAUZA UZA

Ninazijua shida nilizopitia kwenye yumba za kupanga, raha yake ni kuwa unatembea na nyumba yako mfukoni yaani unahama wakati wowote ule unapoitwa wewe mpangaji, ila mambo mengi sana kwenye nyumba zetu za kupanga zinatusumbua sana.

Kabla sijahamia Mwasanga Majengo Mapya mwanzoni nilikuwa ninaisha Ilemi ambapo sijawahi kuwa na afadhali hata usiku mmoja, ni tukio baada ya tukio ninashukuru pale palikuwa na mlinzi wa kuangalia mali lakini wenye mji wenyeji wangu vikongwe hawakuisha kunisumbua kila nilipopanda kitandani kusinzia.

Mara tatu mfululizo nimekuwa ninalala kitandani chumbani na nguo lakini asubuhi ninaamkia sebuleni tena nikiwa uchi wa mnyama.Hili nikafikiria pengine huwa nalala huku natembea nikaamua kuwa nafunga mlango wa chumbani na kufuri halafu kutengesha vyombo kusudi nikifungua nisikie niamke lakini halikuisha likaendelea.

Awamu mbili tofauti nimekuwa ninaamka nimekatwa nywele zangu kichwani na kiasi kwenye sehemu za siri hili ndilo likanifumbua macho nimtafute shemasi wa kanisa na kumpa mualiko aje kunifanyia ibada nyumba shida zinazonikabili usiku zikome kabisa.

Mtumishi akaja akaniombea na maji ya baraka tukamwaga kila kona ya  nyumba ninayoishi nikaamini hii itakuwa kiboko yao lakini wapi usiku wake nilipolala kuamka hali ikawa ndio nimewachokoza wenyeji wangu wa mtaa niliamka nikiwa nimechanjwa chale mwili mzima kuanzia nyuma ya shingo mpaka kwenye magoti ya miguuni.

Sasa nikaamua niwaambie wazazi wangu na ndugu zangu juu ya hali ninayoipitia wao kwa ufahamu wakaniambia nimtafute ostadh yoyote mwenye jina asome kisomo wakifikiri ni jini ndilo lilikuwa linanifanyia tabia za mtindo huo.

Nikafanya hivyo akaja msomaji wa kisomo akasoma kisomo kisha tukapeana pongezi na pole za shughuli usiku wake walikuja tena asubuhi nikaamka nikiwa ninaa alama za viganja kwenye shingo kana kwamba kuna mtu alikuwa ananikaba .

Uvumilivu ukanishinda nikaamua nitafute nyumba nihame pale palikuwa pana matukio yasiyoisha, nilipomwambia rafiki yangu dalali Charles akaniambia kuwa hali kama hizo huwa zipo kwenye kila nyumba hakuna nyumba nitakayohamia iwe salama bila shida yoyote ile.

Msimamo wangu wa kuhama ukawa juu nikasema lazima nihame lakini kwa bahati mbaya kipindi hicho nyumba za kupanga hazikuwa rahisi kupatikana na zilizopatikana zilikuwa gharama ya kodi iko juu kidogo.Dalali akaniambia nivumilie miezi iliyobaki akiwa ananitafutia nyumba lakini pia akanishauri kama sitojali nimtafute daktari BAKONWGWA kwenye namba zake za whatsapp +243990627777.

Kwa shida ambazo nilikuwa nimekwisha kuzipitia haraka haraka nikamtafuta na yeye daktari akaaamua kakufanya kulingana na hali yangu alinipa dawa ya kujitengeneza na kuondoa mizindiko yaliyowekwa na wakaaji wengine kabla yangu kwenye hiyo nyumba ambayo ilinipasa nitumie kwa siku mmoja tu.Usiku wake baada ya dawa nililala usingizi wa mmoja kwa mmoja bila shida zozote zile.

Sikutarajia kama itakuwa rahisi sana lakini kwa tiba zake daktari iliwezekana kila mara nikikumbuka hayo mpaka ulipofika wakati wa mimi kuhama niliwaacha majirani wakishangaa ni ulinzi gani nimeutumia kwenye maboma yao nakushukuru sana daktari bakongwa wa https://bakongwadoctors.com .


Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527

0/Post a Comment/Comments