MERIDIANBET YAIFIKIA MABIBO BOYS NDANI YA MABIBO


 

Timu ya mpira wa miguu wa miguu ya Mabibo Boys inayopatikana Mabibo imefikiwa na wababe wa michezo ya kubashiri kampuni ya Meridianbet ambao walipofika hadi ya mitaa ya Mabibo na kugawa vifaa vya michezo ambavyo ni jezi na mipira, Hii ni kuhakikisha wanaunga mkono juhudi za vijana wa mtaani ambao wanapambana katika michezo.

Mkuu wa kitengo cha Masoko na mawasiliano kutoka Meridianbet Bwana Matina Nkurlu aliiongoza timu nzima ya ya kampuni hiyo mpaka kufika Mabibo na kugawa vifaa hivo, Kitu ambacho wamekua wakikifanya mara kwa mara kuhakikisha wanasaidia jamii ambayo inawazunguka pale ambapo itawabidi kufanya hivo.

Meridianbet wanaendelea kurudisha kwa jamii kila siku kwani kufanya hivyo ni kuwajali vijana hasa katika soka. Meridianbet “CHAGUA TUKUPE”.

Sub-Heading:

Pata mizunguko 50 ya bure kucheza sloti na michezo ya kasino ya mtandaoni ukijisajili na Meridianbet. Jisajili kupitia link hii

 

Bwana Matina Nkurlu alisema kuwa Meridianbet iliamua kuwafikia Mabibo Boys kwasababu,

“Meridianbet tunaamini michezo ni Afya na ni Ajira hivyo kuwapa vifaa  vya michezo ndugu zetu wa Mabibo Boys ni katika kuhakikisha vijana hawa wanakua na afya njema lakini pia kupata ajira kupitia michezo, na tunatoa wito kwa makampuni mengine kushiri kikamilifu kuvisaidia hivi vituo vidogo vya michezo ili kuzalisha watu wengi wenye mafanikio kwenye michezo”

Vilevile baada ya kupokea vifaa hivyo michezo katibu wa timu ya Mabibo Boys alisema “Kiukweli msaada huu umekuja wakati sahihi kabisa kwakua timu yetu ilikua na uhitaji mkubwa wa vifaa vya michezo na mipira hivyo hii itakua ni sehemu ya kutatua changamoto za timu kuelekea kwenye mashindano

 

Meridianbet imekua na utaratibu wa kutoa misaada katika sehemu mbalimbali bila kujali tasnia hii imekua ni kawaida kwao pale ambapo wataona jamii ina uhitaji wao wamekua mstari wa mbele kuhakikisha wanatoa msaada katika eneo hilo.

 Pia Meridianbet imeleta mchongo wa  hela kila siku. Kuna hii bonasi ya ukaribisho kwa wateja wapya wote wanapata Tsh 25,000/= ya kucheza michezo ya kasino ya mtandaoni. Ingia mchezoni www.meridianbet.co.tz

Basi nakwambiaje pesa zipo hapa Meridianbet kama hujajiunga huu ndio muda sasa ingia na uweze kupata hiyo bonasi na ubashiri mechi zako kadhaa unazoamini kuwa zitakupa ushindi ndani ya Mabingwa wa ODDS KUBWA.

 Ukiwa na meridianbet unaweza kubashiri mubashara, tembelea maduka ya meridianbet uweze kucheza michezo ya sloti na kasino ya mtandaoni.

Kampuni zingine ziige mfano kutoka Meridianbet kwa kurudisha kwa jamii kwani kuwaunga mkono vijana hasa katika soka itasaidia sana kuleta chachu ya maendeleo katika sekta ya michezo kwani vijana ndio Taifa la leo.

 

Beti na Meridianbet mechi za ligi zote, odds ni kubwa sana, usikose pia Kasino ya mtandaoni ya Meridianbet yenye michezo rahisi ya sloti kama Poker, Aviator, Roulette.

 

NB: Habari njema kwako, Meridianbet imesikia ombi la wengi imekuja na Jackpot kubwa ya mechi 13 kwa dau dogo la kuanzia 1,000/=TZS mshindi atajinyakulia donge nono la Tsh 85,000,000/= PIGA *149*10#

#MERIDIANBET CHAGUA TUKUPE



Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527

0/Post a Comment/Comments