RUFIJI FM YAZINDULIWA RASMI


Rufiji FM - Raha ya Pwani Redio pendwa kwa watu wote sasa rasmi yazinduliwa Ikwiriri- Rufiji saa chache zijazo.

Ni kituo Bora kabisa kwa ajili ya kuwahabarisha, kuwaburudisha na kuwaelemisha Warufiji, Wanapwani na watanzania kwa ujumla.

Unangoja nini njoo tushiriki pamoja na uwe sehemu ya historia hii, katika tamasha la Uzinduzi!!!!!!

Wasanii mbalimbali watapanda na kubamba

Unakosaje kwa mfano?????

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527

0/Post a Comment/Comments