NIMEPATA KISONONO KATIKA MADANGURO!


Kwa hakika tamaa za ujana ni mbaya sana, na yeyote anayejaribu kukidhi tamaa zake za ujana kwa pupa ni lazima utapata tabu sana kama ambavyo zilinikuta na mimi miaka ya nyuma.

Jina langu ni Seif kutokea jijini Nairobi nchini Kenya, miaka miwili iliyopita baada ya kupata kazi yenye mshahara mzuri, nilijikuta nikiwa na tamaa kubwa sana ya ngono.

Kila mwanamke mzuri ambaye alipita mbele yangu, basi mara moja ningetamani kushiri naye kitendo hilo, hali hiyo ilipelekea siku moja kwenda kwenye madanguro kutafuta mwanamke wa kufanya naye ngono.

Siwezi kusema uongo, huku nilikutana na wanawake wengi wazuri hadi kushindwa nichague yupi na niache yupi, ila mwisho wa siku nilichagua mmoja na kufanikiwa kushiriki naye ngono.

Basi huo ukawa ndio mtindo wangu wa kila mara, isingeweza kupita siku mbili bila kwenda kununua mwanamke huko, kibaya zaidi nilikuwa nashiriki ngono bila kitumia kinga.

Mtindo wangu huo mpya wa maisha, ulikuja kunigharimu vibaya sana baada ya kuja kuugua ugonjwa ulionisumbua sana ambao ni kisonono, katika maisha yangu sijawahi kuumwa kama wakati huo.

Nilitumia dawa za aina mbalimbali bila kupona hadi nikahisi ugonjwa ule huwenda nilitupiwa kwa njia za kishirikina maana sijawahi kuumwa halafu nikatumia dawa nikaacha kupona, hii ndio ilikuwa mara ya kwanza.

Baada ya kusumbuka sana, kuna siku niliona tangazo sehemu fulani kuwa AfricanDoctors wanatibu magonjwa mbalimbali ikiwemo kisonono, ndipo nikaamua kuwasiliana nao na kuwaomba dawa yao.

Hazikupita siku nyingi waliweza kunitumia dawa yangu na mara moja niliweza kuitumia, nashukuru polepole nilianza kujisikia nafuhu katika mwili wangu na sasa nimepona kabisa.

Wakati huo ambapo mwili wangu na afya imerejea katika hali yake ya kawaida, nimeacha kabisa kwenda kwenye madanguro kununua wanawake, sasa najipanga nioe mwanamke wangu wa maisha.

Wasiliana na AfricanDoctors kwa namba +254719153099

Mwisho.

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527

0/Post a Comment/Comments